Shifaa
YONG MAX
KSh 3,950.00
DAWA YA KUOTESHA NYWELE KWA WENYE VIPARA.
-Tumekuletea dawa bora ya asili kwa ajili ya kuotesha nywele kwa wenye vipara vya aina zote kwa haraka zaidi.husaidia pia kwa wenye matatizo ya nywele kukatika
#KAZI ZA DAWA HII.
1.Kuotesha nywele kwenye kipara kwa haraka.
2.Kuongeza afya ya nywele.
3.Kujaza nywele.
4.Kuongeza mng’ao wa nywele.
5.Kuondoa mapunye na Mba kichwani.
#MATOKEO.
-Matokeo yanayopatikana huwa ya kudumu daima na haziwezi kupotea tena.
-Ni dawa pekee ambayo haina madhara yoyote kiafya kwa mtumiaji.





