Shifaa Herbs Clinic

Author name: godwinmw

Uncategorized

FAHAMU UGONJWA WA TYPHOID, DALILI NA TIBA YAKE

Typhoid au homa ya ni matumbo ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria anayeitwa salmonella Typhi. Ugonjwa huu huambukizwa kwa kupitia kula chakula kilichopata bakteria (salmonella typhi) kutoka katika kinyesi cha mtu aliyepata maambukizi ya homa ya matumbo. hata kwa maji ni hvyo hvyo. DALILI ZA TYPHOID 1.Homa kali 2.Kutokwa kwa jasho jingi 3.Kuharisha (Bila ya kutoa damu) 4.Muda mwingine vipele vyekundu huonekana kwenye mwili. Kwa kawaida homa ya matumbo isipotibiwa hugawanyika katika hatua nne, kila hatua ikichukua takribani wiki moja. Katika wiki ya kwanza 1.Joto la mwili kuongezeka. 2.Kichwa kuuma. 3.Kukohoa. 4.Damu kutoka Kwanzaa pua ingawa tukio hili huwa ni kwa nadra sana. 5.Maumivu ya tumbo pia huweza kutokea katika wiki ya pili 6.Homa huongezeka. 7.Mgonjwa huanza kupagawa kama mwenda wazimu. 8.Vipele vyekundu kuanza kutokea kwenye kifua. 9.Mgonjwa huarisha takribani mara sita au nne kwa siku. 10.Kutapika kwa mgonjwa. Ini la Mgonjwa kuanza kuvimba. 11.Homa ya mgonjwa huongezeka katika wakati wa alasiri kwenye wiki ya kwanza na ya pili. Wiki ya pili 1.Matumbo hutoa damu 2.Matumbo hutoboka Wiki ya tatu ikimalizika, homa huanza kutulia hii huendelea hadi wiki ya nne. TIBA YA TYPHOID hushauriwi kununua dawa na kutumia dawa kabla ya kujua unasumbuliwa na ugonjwa gani. Hivyo ukiona dalili nenda maabara kapime kwanza. Mara nyingi Homa ya matumbo haina madhara makubwa pale ukiwahi kupata tiba kwa haraka. jitahidi kuwahi hospitali mapema pindi unapo pata dalili hizi ili kuepukana na madhara makubwa ya ugonjwa huu ambao husababisha vifo vya mamilioni KINGA YA HOMA YA MATUMBO. usafi wa mazingira na usafi wako binafsi mwenyewe,, Nawa mikono baada kutoka chooni Nawa mikono kabla hujala na baada ya kula. Osha tunda kabla hujala. Usile chochote kabla hujakiosha. LIKE PAGE HII ili kuendelea kupata nakala mbalimbali za Afya pia share ujumbe huu ili kuwafikia wengi. KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL All reactions: 55

Uncategorized

NI UGONJWA WA HOMA YA INI, (HEPATITIS B) FAHAMU KUHUSU KINGA NA TIBA LISHE ZAKE:

Homa ya INI ni ugonjwa unaotokana na uvimbe katika seli hai za ini. Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). NB Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini. Ugonjwa huu kama haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo . JINSI UNAVYOAMBUKIZWA Ugonjwa huu husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni. Kama ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damu. NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI 1-Kujamiana bila kinga 2-Kunyonyana ndimi ‘denda’ 3-Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua 4-Kuchangia damu isiyo salama 5-Kuchangia vitu vya ncha kali kama sindano, wembe n.k 6-Kuchangia miswaki 7-kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo 8-kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho. DALILI ZA UGONJWA HUU: Watu wengi hawaonyeshi dalili yoyote. Kwa maana hiyo mtu anaweza kuishi na HBV na kusababisha maambukizi kwa wengine bila kugundulika. Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. DALILI HIZO NI PAMOJA NA A-Uchovu B-Kichefuchefu C-Mwili kuwa dhaifu D-Homa kali E-Kupoteza hamu ya kula F-Kupungua uzito G-Maumivu makali ya tumbo upande wa ini H-Macho na ngozi kuwa vya njano I-Mkojo mweusi Kwa wagonjwa wengine, Virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer). KINGA: 1-Kutumia kinga wakati wa kujamiana 2-Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali kama sindano, wembe n.k 3-Kutochangia miswaki 4-Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu 5-Kutochangia damu isiyo salama TIBA YAKE Kwa wenye tatizo hili wasihofu kwani tunayo dawa nzuri sana ambazo imetengenezwa kutokana na mchanganyiko wa dawa asili ambazo zimethibitishwa kutibu na kumaliza kabisa Hepatitis B WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

Uncategorized

NGIRI YA KINENA (INGUINAL HERNIA)

Ngiri ya kinena hufahamika kwa Kiingereza kama Inguinal Hernia. Ngiri katika eneo la kinena hutokea pale utumbo hujitokeza kwenye uwazi katika ukuta wa tumbo kwenye kinena. Ngiri kwenye kinena hutokea mara nyingi na huwaathiri zaidi wanaume. DALILI ZA NGIRI 1-Dalili za ugonjwa wa ngiri ni pamoja na uvimbe kwenye eneo la kinena au kifuko cha korodani. 2-maumivu kwenye korodani 3-korodani kufura au moja kusinyaa 4-choo kigumu na hutoka kama cha mbuzi 5-kutokwa na manii yenye damu au maumivu wakati wa tendo la ndoa 6-Upungufu wa nguvu za kiume, kukosa hamu ya tendo la ndoa au kukinai kabisa SEHEMU AMBAZO NGIRI INAWEZA KUTOKEA NI PAMOJA NA: 1-Tumboni 2-Eneo la kinena 3-Eneo la paja kwa juu 4-Eneo ambalo mtu amewahi kufanyiwa upasuaji siku za nyuma 5-Kifuani n.k. Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa umri wowote. AINA ZA NGIRI: 1. Ngiri maji – Hii ni aina ya ngiri ijulikanayo pia kwa kitaalamu kama (hydrocele) 2. Ngiri kavu (Hernia) – hujulikana pia kama ‘fermoral hernia’ kwa wanawake na huitwa ‘scrotal hernia’ kwa wanaume 3. Ngiri ya kwenye kifua – hujulikana pia kitaalamu kama ‘hiatus hernia’ 4. Ngiri ya tumbo – hujulikana pia kama ‘abdominal hernia’ 5. Ngiri ya kwenye kitovu – hujulikana pia kama ‘umbilical hernia” 6. Ngiri ya sehemu ya haja kubwa – hujulikana pia kama ‘anal hernia’ NGIRI YA KWENYE KINENA Ingiri ya kwenye kinena ambayo kitaalamu huitwa ‘inguinal hernia’ hutokea wakati tishu laini hujitokeza kupitia eneo la udhaifu au kasoro katika misuli yako ya chini ya tumbo. Mara nyingi huwa karibu na eneo la kinena. NINI HUSABABISHA NGIRI YA KINENA? 1-Kunyanyua vyuma au kitu kizito ambayo husababisha udhaifu katika ukuta wa tumbo(weight lifting) 2-Nguo zenye kubana sana 3-choo kigumu 4-Sababu za kuridhi 5-chakula chenye kemikali 6-Mtindo wa maisha 7-kikohozi cha mda mrefu DALILI ZA HENIA YA KINENA? Dalili za ngiri ya kwenye kinena 1-zinajumuisha maumivu au, shinikizo, hasa wakati wa kuinua kitu, au kukohoa. 2-upungufu wa nguvu za kiume 3-Kukosa usingizi 4-Kukosa hamu ya kula 5-Tumbo kufura na kujaa gesi JE, NGIRI HUATHIRI NGUVU ZA KIUME? Kama ngiri bado ni ndogo. Haiwezi kuathiri chochote katika nguvu za kiume. Hata hivyo, henia ambayo imesha anza kuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume – – huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume/korodani na hali ya homoni. Ukosefu wa homoni ya testosterone inaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume. TIBA YA HERNIA BILA UPASUAJI dawa ya hernia care ni dawa mujarab kabisa na ni dawa yenye kutibu na kumaliza kabisa hernia bila upasuaji wowote WASILIANA NASI KWA TIBA YA HERNIA BILA UPASUAJI +254721836774 DR ISMAIL All reactions: 55

Uncategorized

TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI NA TIBA YAKE SAHIHI.

Leo tuzungumzie tatizo linalowasumbua na kutesa wanawake wengi, tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu mbaya sehemu za siri. Kitaalamu hali ya mwanamke kutokwa na majimaji (vaginal fluids) yenye rangi nyeupe au ya njano, ni hali ya kawaida na wala siyo tatizo endapo majimaji hayo siyo mazito sana na wala hayatoi harufu mbaya. Lakini endapo majimaji yanayotoka yapo katika hali ya ute mzito wenye rangi nyeupe au kahawia, yanatoa harufu kali na yanawasha, basi hiyo ni ishara ya ugonjwa uitwao Vaginosis. Majimaji au ute unaoteleza kutoka sehemu za siri ni njia inayowezesha viungo vya uzazi vya mwanamke kujisafisha na kuutoa uchafu wa seli zilizokufa na mabaki ya damu ya hedhi nje ya mwili. Pia huvikinga viungo vya uzazi dhidi ya maambukizi ya bacteria au fangasi wanaosababisha magonjwa. Kwa kawaida huwa hayatoi harufu na huwa na rangi nyeupe au ya njano. Pia huwa na asidi ya Lactic ambayo huzuia kuzaliana kwa vijidudu vya maradhi na huzalishwa nkwenye tezi za Bartholin (Bartholin’s glands) zilizopo kwenye shngo ya mlango wa uzazi (Cervix). SABABU ZA KUTOKWA NA UCHAFU NA HARUFU MBAYA; Kuna sababu nyingi ambazo husababisha mwanamke kutoa ute au majimaji yasiyo ya kawaida kutoka kwenye sehemu zake za siri. 1. MAAMBUKIZI YA BACTERIA wanaosababisha magonjwa kama Trichomoniasis, Candidiasis, Gonorhear au uambukizo wa bacteria Candida albicans, Vaginosis Bacteria n.k husababisha mwanamke kutokwa na uchafu unaoambatana na harufu mbaya. 2.MABAKI YA KITAMBAA, TISSUE AU PADS ambazo hazikutolewa wakati wa hedhi huweza kusababisha tatizo hili. Usafi wa sehemu za siri usipozingatiwa hususani mwanamke anapokuwa kwenye siku zake za hedhi, huweza kuwa mazalia mazuri ya bacteria wanaosababisha harufu mbaya. 3. MAAMBUKIZI KWENYE VIA VYA UZAZI (PID). Ni ugonjwa ambao usababisha uchafu kutoka ukeni wakati mwingine unaweza kuwa na harufu mbaya Kama shombo ya samaki. DALILI ZA UGONJWA WA VAGINOSIS. Mwanamke mwenye tatizo la Vaginosis huwa na dalili kubwa ya kutokwa na ute na majimaji yasiyo ya kawaida (Uchafu) kutoka sehemu za siri. Uchafu huu huwa unatoa harufu kali kama shombo ya samaki au kitu kilichooza na huambatana na maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu. A> Wakati mwingine uchafu wenye rangi kama ya kijani hutoka B> Kuwashwa na kuchomachoma sehemu za siri, mgonjwa asipopatiwa tiba haraka husababisha vidonda sehemu za siri. C> Mwanamke anapoona anatokwa na ute uliochanganyikana na damu hata kama hayupo kwenye siku zake, hii ni dalili nyingine ya Vaginosis. D> Maumivu makali wakati wa tendo pia ni dalili za ugonjwa huu. MADHARA YA TATIZO LA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI ( VAGINOSIS ). Madhara ya tatizo ili Lin Mengi kulingana na chanzo chake na kama utakuwa umechelewa kupata matibabu sahihi kwa wakati, madhara yake ni Kama vile:- 1. ️Kutokushika mimba 2. ️Mirija kujaa maji, kuziba na kuvimba 3. ️Saratani ya shingo ya kizazi. 4. Kizazi kulegea 5. ️Uvimbe kwenye mirija 6. Mimba kuharibika 7. ️kuvurugika kwa homoni (hormonal imbalance) 8. ️Kukosa ute wa ovulation 9. Kukosa hedhi na 10. Hatimaye Ugumba. JE, UNASUMBULIWA NA TATIZO LA KUTOKWA UCHAFU UKENI? Kama una tatizo hili au unamfahamu mtu mwenye tatizo na ameshindwa kulipatia ufumbuzi kwa muda mrefu habari njema kwako ni kwamba HUSIKATE TAMAA tunayo dawa nzuri sana ambayo inaitwa LADY CARE dawa hii ambayo imekuwa mkombozi na msaada kwa wanawake wengi, wasiliana nasi kwa ushauri/ elimu na msaada zaidi. MATIBABU YAKE. Tatizo hili hutibika bila wasiwasi wowote kwa sababu tunayo dawa nzuri sana ya asili ambayo inatwa lady care dawa hii inatibu na kumaliza kabisa matatizo hayo kwa siku 30 pekee WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

Uncategorized

SAUTI KWENYE MASIKIO, NI TATIZO GANI?NA TIBA YAKE

Hili ni tatizo ambalo kitaalamu huitwa tinnitus. Mtu husikia mivumo ndani ya sikio au sauti za kengele kwenye sikio wakati hakuna kitu cha nje kinachotoa kelele. Unaweza kusikia mivumo au kelele ndani ya sikio moja au wakati mwingine ndani ya masiko yote mawili. Ni tatizo ambalo huwapata asilimia 15 hadi 20 ya watu na hasa wale wenye umri mkubwa. DALILI Tinnitus huelezwa kuwa ni mivumo ndani ya sikio, hata kama hakuna sauti za nje. Tinnitus huweza kuleta aina nyingi ya sauti kwenye sikio, kama: A. kuvuma (kama nyuki) B. kunguruma C. sauti ya kugonga kama vile ya kidole .D sauti ya sss kama ya mlio wa nyoka. SABABU ZA MIVUMO YA SAUTI YA NDANI YA MASIKIO Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha au kuchochea tatizo la kelele ndani ya masikio. ■Kupoteza usikivu. Kuna seli ndogo, dhaifu za nywele kwenye eneo la ndani kabisa la sikio (cochlea) ambazo hucheza wakati sikio likipata mawimbi ya sauti. ■Maambukizo au Kuzibwa kwa mkondo wa sikio. ■ Kuumia kwa kichwa au shingo. ■Matumizi ya madawa. Kuna madawa ambayo huweza kusababisha au kuongeza tatizo la kelele za masikioni. SABABU NYINGINE ZA TINNITUS Mara chache tinnitus huweza kutokea kwa sababu nyingine kama matatizo ya sikio, kuumwa kwa muda mrefu, na kuumia kulikoathiri neva ndani ya sikio au eneo la ubongo linalohusika na kusikia. 1. Meniere’s disease. 2. Eustachian tube dysfunction. 3. Ear bone changes 4. Muscle spasms in the inner ear. 5. Matatizo katika Temporomandibular joint (TMJ) 6. Acoustic neuroma au uvimbe wa aina nyingine kwenye kichwa au shingo 7. Matatizo ya mishipa ya damu 8.Matatizo mengine sugu. VIHATARISHI VYA TINNITUS ●Sauti kubwa. Sauti kubwa kama za mashine kubwa, baruti na vipaza sauti ●Umri. Umri unavyozidi kuwa mkubwa, idadi ya nyuzi za neva zinazofanya kazi hupungua ●Jinsia. Wanaume hupata tinitus zaidi kuliko wanawake. ●Tumbaku na vilevi. Watu wanaovuta sigara wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata tinnitus. Kunywa pombe pia kunaongeza yamkini ya kupata tinnitus. ●Matatizo ya kiafya. Unene, magonjwa ya moyo, high blood pressure MADHARA YATOKANAYO NA TINNITUS 1. Uchovu 2. Msongo wa mawazo 3. Matatizo ya usingizi 4. Shida kutafakari 5. Matatizo ya kumbukumbu 6. Mfadhaiko 7. Wasiwasi na kukosa amani 8. Maumivu ya kichwa. TIBA YA TINNITUS kwa wahanga ambao wanahangaika na tatizo hili wasihofu kwani tunazo dawa nzuri sana ambazo zinatibu na kumaliza kabisa matatizo haya, ambapo tunakupa dawa aina mbili moja ya kunywa na nyingine ya kuweka masikioni. Dawa hizi unazitumia kila siku asubuhi na jioni kwa mwezi mzima na utapona kabisa WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

Uncategorized

BAKTERIA AINA YA H. PYLORI NA ATHARI ZAKE MWILINI NA TIBA YAKE

H. pylori ni kifupi na Helicobacter pylori ni aina ya bacteria ambayo huingia kwenye mwili na kujificha ndani ya mfumo wa chakula. Nikisema mfumo wa chakula hapa ieleweke kwamba ni kuanzia mdomoni unapobugia chakula chako mpaka kwenye puru ambapo unatoa kinyesi baada ya umeng’enyaji kufanyika, hivo kumbe bacteria hawa wanapatikana hata mdomoni na wanaweza kuambukizwa kwa mdomo pia. DALILI kujiskia tumbo limejaa mda wote hata kama umekula kidogo tu, kutapika na kupata kichefuchefu mara kwa mara, kushuka kwa uzito kwa kasi bila sababu ya msingi, mwili kuwa mzembe na kuchoka sana maumivu makali ya tumbo, kiungulia, kupoteza hamu ya chakula Mgonjwa hujisikia kama anaungua kwa ndani na maumivu makali ya tumbo kuunguluma (bloating), Maumivu makali sehemu ya juu ya tumbo, chini ya kifua, (chembe ya moyo) Kufunga choo au kupata choo kigumu wakati mwingine kinakuwa kama cha mbuzi na chenye uteute mwingi (constipation). Mgonjwa mwenye maambukizi makubwa ya vimelea hivi, hali huwa mbaya zaidi, kwani kemikali sumu hizi huzalishwa kwa wingi sana, uharibifu unakuwa mkubwa zaidi, kemikali sumu hizi na tindikali hufyonzwa na kusambaa mwili mzima, kupitia mishipa ya damu hivyo kufanya uharibifu kwenye kila kiungo muhimu cha mwili. MADHARA YA H. PYLORI Madhara ya maambukizi yanatokana na taka taka ambazo ni sumu kwenye chembe chembe hai na viungo vya binadamu zinazozalishwa na vimelea hivi. Vimelea hivi huzalisha aina nne za kemikali ambazo ni sumu kwa mwilini mwa binadamu cytotoxin associated gene A (cagA), vacuolating cytotoxin (VacA), lipopolysaccharide (LPS) na ammonia (NH) (T Shimoyama MATIBABU YA H. PYLORI kiswa powder dawa hii hutibu na kuondoa madhara, vijidudu na kulinda mfumo wa chakula colon cleanser huziba makovu, na kuondoa tatizo la kutoa kinyesi cha damu KWA MAWASILIANO PIGA NAMBARI +254721836774 DR ISMAIL All reactions: 66

0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop
    Scroll to Top