U.T.I SPECIAL
KSh 3,500.00
U.T.I SPECIAL
Hii ni dawa ya asili au herbal inayo toa Msaada wa wa haraka kwa kuondoa na kumaliza kabisa maambukizi katika Njia ya Mkojo yaani u.t.i
1-Dawa hii inapo ingia mwilini
Huwashambulia na kuwamaliza kabisa vimimelea hatari kwenye mkojo ili wasiweze kushikamana na ukuta wa kibofu cha mkojo
2-Hulenga moja kwa moja eneo la usumbufu, kwa hivyo unaweza kupata afueni kwa muda wa dakika 20 – kitu ambacho huwezi kupata kwa dawa za kawaida au antibiotics pia huondoa muwasho na maumivu chini ya dakika 30
3-Dawa hii hupambana na UTI, vaginosis, na kumaliza kabisa hatufu mbaya ukeni
4-imeonyesha umahiri wake katika Kukuza afya njema ya uke na kuhakiksha mkojo msafi na usio na harufu kali
5-Humaliza kabisa maumivu wakati wa kukojoa kwa wanaume na wanawake
6-Husafisha na Huongeza uimara kwenye kinga Yako ya kibofu cha mkojo
7-Huondoa bakteria wanaosababisha maambukizi na kusaidia katika kuzuia maambukizo ya UTI yanayojirudia, chronic au recurring infections
@-Dawa hii ni salama kutumiwa wakati wowote Na mtu yeyote




