Shifaa Herbs Clinic

EAR SPECIAL

KSh 2,000.00

EAR SPECIAL

Hii ni tiba asili inayo tibu maradhi yoote ya masikioni tiba inayotokana na virutubisho lishe asili kupitia mimea na matunda.

Ambapo tunakupa dawa aina mbili moja ya kunywa na nyingine ya kuweka kwenye sikio

1-Maumivu kwenye sikio
2-Maambukizi ndani ya sikio
3-Kutokwa na usaha au maji sikioni
4-Huongeza msukumo wa damu kwenye ubongo

Dawa hizi hufaa sana kwa watu wanao tumia compyuta kwa muda mrefu

Dawa hizi unatumia kila siku asubuhi na jioni kwa mwezi mzima na utapona kabisa

 

 

 

Category:
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop
    Scroll to Top